MVUTO WA AJABU WA BIASHARA .
DAWA KIBOKO YA MVUTO.   dawa hii ni ya miti dawa hii ni kibojo ya biashara kama wewe ni mama ntirie(muza chakula) mfanya biashara wa aina yoyote basi hili ni bomu lako ili likulipukie , hii dawa niliwai toa humu kipindi hicho na watu waliizarau kwakua hawakuniamin lakin hii nasema utaangaika nadawa za mivuto hili ni bomu kama wewe una frem, kiringe, biashara ya kutembeza , umachinga nk haki ya allah iko juu yetu wana imani nae ni mwingi wa muelevu nenda duka la asili kanunue  1LUHAHO  2MLIPU  3MCHEKA  4MWINAMO  5MVUTE  6KINAMATA.    dawa hii itumie kwa kuchoma kama sehemu yako ya biashara inaruhusu kuchoma , pakaa dawa hii kila siku asubui ila ukiwa umechanganya kwenye mafuta NAZI , ndugu yangu pakaa kwa manuizi ya mvute hata kama wewe kazin kwako hukuwai kuoanda cheo basi hii ni mwisho wao utapanda , na umefukuzwa kazi alafu huerewi kuwa nini manta sababu basi hili ni ponyo sina mengi fanyeni ili mufaidike na nyinyi by babu bidabida tiba na ushauri fika buza kwa mama kibonge pia babu ...
